Ruka hadi Yaliyomo

Mpangilio wa Tatu - Viapo vya Kitaifa na Uthibitisho

  1. Kiapo ama Kukubali kuwa na Uaminifu kwa Rais wa Taifa/Kaimu Rais na Naibu Rais
  2. Kiapo ama Kukubali kwa Dhati Mamlaka ya Afisi ya Rais/Kaimu wa Rais
  3. Kiapo ama Kukubali kwa Dhati Mamlaka ya Afisi ya Naibu wa Rais
  4. Kiapo ama Kukubali kwa Dhati Mamlaka ya Afisi ya Waziri
  5. Kiapo ama Kukubali kwa Dhati Mamlaka ya Afisi ya Katibu wa Baraza la Mawaziri/Katibu Mkuu
  6. Viapo kwa Jaji mkuu/Rais wa Mahakama Kuu, Majaji wa Mahakama Kuu, Majaji wa Mahakama ya Rufani na Majaji wa Mahakama ya Juu
  7. Kiapo/Kukiri kuwa Mbunge (Seneti/Baraza Kuu la Kitaifa)
  8. Kiapo cha Spika/Naibu wa Spika wa Seneti/Baraza Kuu la Kitaifa