Ruka hadi Yaliyomo

Isipokuwa pale ambapo Katiba hii inaeleza vinginevyo, haki zote na wajibu wa Serikali na Jamhuri zilizoko na zinazochukua nafasi mara tu kabla ya tarehe ya utekelezaji wa Katiba hii, zitaendelea kama haki na wajibu wa serikali ya kitaifa au Jamhuri chini ya Katiba hii.