Ruka hadi Yaliyomo

Licha ya Kifungu cha 217 (1), vigezo vya kwanza na vya pili vya misingi ya ugavi wa mapato miongoni mwa kaunti vitafanywa katika kipindi cha baada ya kila miaka mitatu, badala ya baada ya miaka mitano kama inavyoonyeshwa katika Kifungu hicho.