Ruka hadi Yaliyomo

Hadi Jaji Mkuu atakapoweka sheria zinazorejelewa katika Kifungu cha 22, kanuni za utekelezaji wa haki za msingi na uhuru chini ya ibara ya 84 (6) ya Katiba ya awali zitaendelea kutumika kwa kufanyiwa marekebisho muhimu ili ziafikiane na Kifungu cha 22.