Ruka hadi Yaliyomo

(1) Kuundwa kwa Mahakama Kuu na kuteuliwa kwa majaji wa Mahakama hii kutakamilishwa katika muda wa mwaka mmoja kutoka tarehe ya kutekelezwa kwa Katiba hii.

(2) Hadi pale ambapo Mahakama Kuu itaundwa, Mahakama ya Rufani itayashughulikia masuala yaliyopewa Mahakama Kuu.