Ruka hadi Yaliyomo

(1) Kila kaunti itakuwa na Serikali yake itakayokuwa na Baraza la Kaunti na Mamlaka Kuu ya Kaunti.

(2) Kila Serikali ya kaunti itagatua shughuli zake na utoaji wa huduma ili kuhakikisha kwamba imepata ufanisi wa kutekeleza majukumu yake kadiri iwezekanavyo.