Ruka hadi Yaliyomo

(1) Wanachama wa baraza lolote la kaunti au wa kamati ya mamlaka kuu ya kaunti, wasiwe zaidi ya thuluthi mbili katika jinsia moja.

(2) Bunge litatunga sheria–

  • (a) kuhahakikisha kwamba tofauti za kijamii na za kitamaduni katika nchi zinaangaziwa kwenye mabaraza na kamati za mamlaka kuu za kaunti ; na
  • (b) kuweka mikakati ya kuwalinda walio wachache katika kaunti hizo.