Ruka hadi Yaliyomo

Licha ya sharti lolote lingine katika Katiba hii, hakutakuwa na mipaka dhidi ya haki na uhuru wa kimsingi ufuatao–

  • (a) uhuru dhidi ya mateso, unyanyasaji au adhabu zilizokiuka ubinadamu;
  • (b) uhuru dhidi ya utumwa;
  • (c) haki kwenye kesi ; na
  • (d) haki ya kuitikia amri ya kufikishwa mahakamani.