Ruka hadi Yaliyomo

Kabla ya kuhudumu katika afisi ya serikali, au kutekeleza majukumu yoyote ya afisi, kila mtu aliyechaguliwa au kuteuliwa katika afisi ya Serikali ataapa au kukiri kuwajibikia afisi hiyo katika njia na hali itakayopendekezwa na Mpangilio wa Tatu, au na Sheria ya Bunge.