Ruka hadi Yaliyomo

(1) Kutakuwa na uhuru wa kujieleza na kujadili Bungeni.

(2) Bunge linaweza, kwa lengo la kupangilia vyema shughuli za bunge, kutoa mamlaka, marupurupu na kinga ya Bunge, kamati zake, kiongozi wa chama cha kisiasa cha wabunge walio wengi, kiongozi wa chama cha kisiasa cha wabunge walio wachache,vinara na wanachama wa kamati.