Ruka hadi Yaliyomo

(1) Mamlaka kuu ya Serikali yanatokana na Wakenya na yatatekelezwa kwa mujibu wa Katiba hii.

(2) Mamlaka kuu ya serikali yanapaswa kutekelezwa kwa namna ambayo inachukuana na kanuni ya huduma kwa watu wa Kenya, na kwa ustawi na manufaa yao.