Ruka hadi Yaliyomo

(1) Kutabuniwa Hazina ya Dharura, ambayo shughuli zake zitaendeshwa kwa mujibu wa Sheria ya Bunge.

(2) Sheria ya Bunge itaruhusu kutolewa kwa fedha kutoka kwa Hazina ya Dharura iwapo waziri anayehusika na Fedha ameridhika kuwa pana jambo la dharura linalohitaji matumizi ambayo hayapo chini ya mamlaka yoyote.